JPM dissolves Kigamboni Development Authority

NJEMBA ‘AWAVUA’ NGUO WEMA, AUNT EZEKIEL

Mastaa wawili wa Filamu za Kibongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel walikipata cha moto walipokuwa kwenye msiba wa Adam Kuambiana, Bunju nje kidogo ya Jiji la Dar, baada ya kutukanwa na njemba mmoja aliyekuwa amelewa. *Mastaa wawili wa Filamu za Kibongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wakiwa katika Msiba wa Adam Kuambiana.* Sakata hilo lilijiri usiku mwingi wakati mastaa hao walipokuwa wameenda kulala kwenya matanga ambayo yalihudhuriwa na mastaa kibao, nyumbani kwa mke wa marehemu Mwanaume mmoja (jina lake halikupatikana) alianza kumtukana Wema kuwa hana uzuri wowote kama walivyokuwa waki... more »

Comments