JPM dissolves Kigamboni Development Authority

CHANGAMKIA HABARI MOTOMOTO


*Sauda Mwilima akiwa na Zamaradi Mketemwa.* Kama kawa wiki iliyopita tulimleta kwenu prizenta wa Star TV, Sauda Mwilima ambapo mlimuuliza maswali anayoyajibu wiki hii. UNGANA NAYE… VIPI *KUHUSU BANGI?* Nasikia wakati unasoma ulikuwa unavuta bangi, je, ni kweli au? Andrew Kazala, Dar, 0717179570 SAUDA: Sijawahi kuvuta bangi na sijui inafanana vipi. *PONGEZI* Mara utasikia oooh, Maimartha Jesse anauza dawa za kuongeza makalio au Lulu Semagongo ana danguro la kuwauza mashoga lakini kwa Sauda Mwilima sijawahi kusikia skendo yoyote ile, hakika wewe ni kioo cha jamii hongera sana. Rocky Mos... more »

Comments